wagombea wa ccm ni shida. Naishangaa mipenzi ya lichama hilo. inaimbia wimbo ccm ni ile ile nayo inaitikia kwa furaha, alafu wanadanganyana wataka kufanya mageuzi yatoke wapi??? Baba lao lilikuja na mabilioni ya kikwete, yakaishia kikwao, leo makufuli yanakuja na milioni 50 kila kijiji nao wanaitikia, shiida