GE2025 Maajabu kuelekea uchaguzi mkuu Octoba, 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Ulishaona msajili akitoa maamuzi ya ku favor chama chochote zaidi ya ccm
 
Ni dhahiri huyu mama ni muoga wa upinzani wa aina yeyote ile ndani ya chama na hata nje daaaah wapinzani tutakufa sana!!!
 
Mgombea wa ... ni bubu, hana hoja wala uwezo wa kupiga kampeni ndio maana anawafunga na kuwawekea vizuizi wapinzani wake.
 
Chadema hawana mgombea. Hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi, au wamebadili msimamo wao?
 
Kwa hali hii tunaweza kusema Mh'. Zitto anafanya ishu ya No reform no election kwa kutengeneza mazingira ya wagombea wake waenguliwe akiwa analijua hilo?
 
CCM haiwezi kuruhusu tishio kwa utawala wao. Wamejifunza kwa Lowassa. Na Msajili ndiyo silaha yao kubwa hata kuzidi INEC.
 
Kwani yule mama wa Act aliyezunguka nchi nzima akitwambia atagombea imekuwaje tena
 
Ndio ni project yao CCM, na wamemkata ili ku-prove wrong maneno ya HP kuwa ACT ni CCM B kwahiyo watanzania wengi wenye upeo mdogo watawaza kama ulivyowaza wewe.
CCM kwenye siasa wanatumia akili kubwa sana bro, ndio maana inaendelea kushika Dola kwasababu watanzania wengi hawajui hila za kisiasa zinavyofanywa.
Kwani si mmesema ACT ni project ya CCM!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…