Maaada wa kupata kazi wapendwa

Maaada wa kupata kazi wapendwa

UNCOMMON LIFE

Member
Joined
May 13, 2017
Posts
59
Reaction score
28
Habarini za wakati huu
Mimi ni kijana wa Kitanzania
Natafuta kazi yoyote halali
Nina ujuzi na uzoefu wa kutumia komputer
Upande wa Microsoft software na outlooks
Musaada wenu
 
Rekebisha kwanza hiyo heading yako andika vizuri hilo neno msaada la sivyo wengi hata kuingia kutaka kujua umeandika nini ili wakusaidie hawataingia kwa kukosea tu hapo kwenye heading
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom