ushauri:m4c tumieni mda mwingi kutembelea vijiji na vitongoji kuliko miji kueneza elimu kwa wananchi wasio na fursa hata ya kusoma magazeti na hata kusikiliza vyombo mbalimbali vya habari ili wajue mambo mbalimbali yahusuyo taifa na mustakabali wake.
Napongeza juhudi za m4c lakini ongezeni kasi zaidi vijijini !!!!!!