Vipi huyo RPC Kamuhanda si bado yupo hapo Iringa? Wakati ule wa mauaji ya Mwangosi alifunguka n'a kusema kuwa hawezi kuruhusu mkutano wowote wa chadema kwa kuwa wakubwa zake wanaweza kumfukuza kazi, vipi safari hii katoa kibali cha mkutano?
Go go go CDM! Ila jamani wapeni taarifa policcm waondoe vitu vizito angani pia na vitu vyenye ncha kali waeke mbali ili mkutano uishi salama. Hatutaki kusikia umbea na uhuni wa police
Makamanda tuko nyuma yenu jibuni hoja za wananchi kama kawaida yenu darasa lieleweke wala msijibishane na yule mtoa matusi maana keshachanganyikiwa yule hana sera za kuwaeleza wananchi