M4C mbona Biharamulo hatuwaoni

M4C mbona Biharamulo hatuwaoni

jambo japhet

Member
Joined
Mar 5, 2011
Posts
17
Reaction score
0
wananchi wa wilaya ya biharamulo maarufu kama bia na mulo, iliyoko kagera jimbo la mh Mbasa, tunapenda sana kuwaona majembe wa m4c kutoka chama makini sana CDM wakifika kufanya mkutano na wanachama wake ili kuimarisha chama, Tumechoka na utawala dharimu wa chama cha magamba. plz warm welcom
 
Back
Top Bottom