Huyu mama mbona anongea kama teja?. Alikuwa ameutwika kabla ya kupanda jukwaani. Halafgu eti ni waziri huyu jamani, ndiyo maana nchi haiendelei yaani AKILI NDOGO inatawala AKILI KUBWA.
Huyu mama mbona anongea kama teja?. Alikuwa ameutwika kabla ya kupanda jukwaani. Halafgu eti ni waziri huyu jamani, ndiyo maana nchi haiendelei yaani AKILI NDOGO inatawala AKILI KUBWA.
Huyu mama mbona anongea kama teja?. Alikuwa ameutwika kabla ya kupanda jukwaani. Halafgu eti ni waziri huyu jamani, ndiyo maana nchi haiendelei yaani AKILI NDOGO inatawala AKILI KUBWA.
Nchi inaongozwa na watu wa aina hii utategemea nchi hiyo itakuwa ya aina gani; ati waziri anaongea kama KCC (an old terminology). Ninategemea katiba mypa iweke utaratibu wa kupata viongozi ambao utaondoa mianya inayosababisha tunapata uwozo wa aina hii kwenye serikali.