M-bet

M-bet

E.M.E.M

Member
Joined
Oct 22, 2017
Posts
41
Reaction score
15
Wakuu naomben mnisaidieni kutabili APA,


West ham vs leicister
Celta vigo vsleganes
Hannover96 vs stuattgst
 
mwanangu mara ya mwisho umekula lini? mi nikiweka team30 nakosa moja, 10 nakosa moja sasa mbaya zaidi nasema ngoja nicheze moja na moja yenyewe nakosa..
Mwanangu uko vizuri, mimi sijawahi bahatika
 
mwanangu mara ya mwisho umekula lini? mi nikiweka team30 nakosa moja, 10 nakosa moja sasa mbaya zaidi nasema ngoja nicheze moja na moja yenyewe nakosa..
Karibu kwenye Uzi pendwa "wazee wenzangu wa kuweka mzigo" mikosi na matatizo yako yatapungua kwa asilimia 90
 
westham vs leicester

mpe leicester..wengine watamalizia zilizobaki
 
Back
Top Bottom