LUKU inakula umeme sio poa

Natafakari mm umeme wa 20,000/= nilipata unit 56 zilikaa siku 10.

Natafakari baada ya kusoma humu juu ya matumizi kuwa makubwa kwenye LUKU.

Lkn watoto wangu Wanaungurumisha FENI usiku kucha , vyumba 2, mara mchana wanasahau wakitoka vyumbani kuzima feni.

Wali wanapikia cooker, nje kuna taa kwenye ukuta.

Lkn kipindi cha nyuma nilikuwa namaliza walau siku 20.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…