abdallah1503
Member
- Jan 21, 2019
- 12
- 3
Kati ya sentesi hizi mbili ipi ni sahihi ukimaanisha kuwa hakuna mtu mwengine zaidi yako?
1.nipo mwenyewe.
2.nipo peke yangu
Bytheway,napenda kuzungumza kiengereza kwa ajili ya practice ingawa sijui sana ; aliyetayari kufanya mazoezi na mimi no yangu ni 0684066626(abdallah hassani)
Sent using Jamii Forums mobile app
1.nipo mwenyewe.
2.nipo peke yangu
Bytheway,napenda kuzungumza kiengereza kwa ajili ya practice ingawa sijui sana ; aliyetayari kufanya mazoezi na mimi no yangu ni 0684066626(abdallah hassani)
Sent using Jamii Forums mobile app