Lugha

Lugha

abdallah1503

Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
12
Reaction score
3
Kati ya sentesi hizi mbili ipi ni sahihi ukimaanisha kuwa hakuna mtu mwengine zaidi yako?
1.nipo mwenyewe.
2.nipo peke yangu
Bytheway,napenda kuzungumza kiengereza kwa ajili ya practice ingawa sijui sana ; aliyetayari kufanya mazoezi na mimi no yangu ni 0684066626(abdallah hassani)

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom