yungsteval
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 309
- 109
Habari ndugu nahitaji msaada kwa wale waliowahi fanya usail utumishi, hivi lugha inayotumika kwenye usaili ni ipi english au swahili? in both written and oral interview.
Maana nimeitwa kwenye usaili katika post ya afisa ustawi wa jamii/ social walfare officer.
Maana nimeitwa kwenye usaili katika post ya afisa ustawi wa jamii/ social walfare officer.