Lugha inaoana sana

pozzy

Member
Joined
Jan 20, 2017
Posts
78
Reaction score
26
Maneno mengi huwa na maana tofauti kadli mazingira. Kwa hali hiyo mimi naona maana iliyotolewa kama " ni sauti za nasibu zinazotumika katika mawasiliano baina ya jamii fulani sio sahihi kwa sababu unaweza kuwa sio wa jamii hyo lakini ukaelewa vinginevyo hivyo bado ninauliza lugha ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…