Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,701
- 218,225
Mnasifiana ujinga wakati chama chenu cha Chadema kimekwisha!! Baada ya kuona chama kinajifia wameamua kujificha kwenye kivuli cha UKAWA.
huna unalolijua kaa kimya , CDM INGEKUWA IMEKUFA UNADHANI HAWA WASALITI WANGEENDELEA KULIPWA ?