ngorope
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,112
- 243
Kwani huuu uzi unahusu nini?
Mjuze mkuu usije shangaa anachangia kitu asichokijua
Kwani huuu uzi unahusu nini?
Hivi the THE BIG SHOW mbonA unalazimisha kuwaabisha waislamu? Kwani nilazima waislamu wote wawe CHADEMA? Wewe ni Bedui au Muislamu?
CHADEMA ndio imesababisha matatizo ya waislamu dunia hii? Kumbe wewe ni Mbumbumbu namna hii.
Haiandikwi hivyo sangara mliwa pande zote mbili.
Ila nikusaidie kukupa tafsir yake kwa kiswahili.
''Wanadamu wote wapo kwenye khasara,ila isipokuwa wale walioamin kisha wakatenda matendo mema,wakausiana katika kutenda mambo ya haqi pia wakausiana katika kufanya subira''
Tunawausia sasa.
Acheni ukanda na ukabila.
Kama dini ya mwenyezmungu inakataza kubagua watu kutokana na dini zao ndiyo ni kweli.Hivi unafikiri Muislamu ni wewe tu au wewe ndio msemaji wa Uislamu hapa Jf ? Dini ya Mwenyezi Mungu inakataza kumbagua kwa misingi ya dini , makabila ama rangi , sasa hii style yako sio njia ya kutetea uislamu ninaoufahamu miye , Wabillah Tawfiq ......
Mpuuzi sana huyo. Ukimbana na hoja za maana anakimbilia Udini. Uislam wakevanaulazimisha uwe uislam wa watanzania wote. Hajui kuwa kuna waislam wasiotaka kabisa kuwa misukule kama yeye
Umechelewa we mganga njaa...Mabosi wako kina Maskini Mkulima na Zitto walijazana hapa kwa ID tofauti. Tumewapa za uso saizi tumetulia tunapata kitimoto rost na bia za moto. Karibu mkuu ule japo kipande cha mbavu
utahangaika sana maskini wa akili wewe!
Hivi Lwakatare mchaga wa wapi vile? jaribu kuchuja hoja kabla hujachangia vinginevyo unajiumbua kwa kutoa taarifa potofu
Haiandikwi hivyo sangara mliwa pande zote mbili.
Ila nikusaidie kukupa tafsir yake kwa kiswahili.
''Wanadamu wote wapo kwenye khasara,ila isipokuwa wale walioamin kisha wakatenda matendo mema,wakausiana katika kutenda mambo ya haqi pia wakausiana katika kufanya subira''
Tunawausia sasa.
Acheni ukanda na ukabila.
lwakatare ni gaidi tu kama mbeba sumu ben saanane
Hivi Lwakatare mchaga wa wapi vile? jaribu kuchuja hoja kabla hujachangia vinginevyo unajiumbua kwa kutoa taarifa potofu
naunga mkono hoja.chadema chama cha wakristo wa kaskazini
Chama kilichofilisika hadi kujitungia ajali kiniweweseshe?utahangaika sana wewe punda wa ufipa,, ACT inawafanya mnaweweseka sana..watanzania wameshachoka na utapeli wa chadema,, mmemtafuta zito mmemshindwa sasa hivi mmehamia ACT ..
RIP chacha
lwakatare ni gaidi tu kama mbeba sumu ben saanane
Nawewe kwamba mimi nilishawahi kuwa mwanachama wa chadema au kuweka hilo bandiko eti la kutishia narudisha kadi km zitto asiporudishwa kwenye chama hiko??
Who the hell is zitto to me??
Yaani kuwaambia wachaga wa chadema waache kasumba za ukanda udini na ukabila ndiyo kusema nambeba zitto??
Kwan hilo ndan ya chama hiko ni la siri?
Hata wangwe chacha si mulimuondoa kwa sababu hizo hizo??
Ofcourse tunaweza kusema tunamsupport mtu flan kama tunaona ananyanyasika pasi na sababu.
Mimi binafsi naamin kilichompinza zitto hadi chadema kufikia hatua ya kumchukia ni huko kuonekana kwake kwamba ana chembe chembe za uislam plus kutokuwa kwake mchaga.
I am giving you homework tafuta hilo bandiko kisha uliweke hapa huwez kulipata.
Na kikubwa zaid kitachokuja kuwagharim chadema ni hiki cha unafik wa kukifanya kinapigana na ccm huku ndan yake kikiwa kina ajenda za siri za kuwakandamiza watu wa iman flani.
Ushahid katika hilo upo wazi humu ndani Jf
Wanachadema wanaongoza kuukashifu uislam na waislam.
Hiki kitu tuliwaasa kwamba kitawagharim.
Na bila shaka madhara yake mmeshaanza kuyaona.
Salam rasmi subirin mwakani 2015 insha allah.
Si ni mnajifanya wajeuri??
Tutaona nani ni mjeuri zaidi.
lwakatare ni gaidi tu kama mbeba sumu ben saanane
utahangaika sana wewe punda wa ufipa,, ACT inawafanya mnaweweseka sana..watanzania wameshachoka na utapeli wa chadema,, mmemtafuta zito mmemshindwa sasa hivi mmehamia ACT ..