Wanajukwaa,
Mi nawaone huruma sana ndugu zangu wa Ccm, japo wenyewe walikuwa hawana huruma na mimi, ivi ni Kiasi gani wametumia mpaka sasa kuwalipa wasanii?,
je ni kiasi gani wametumia kulipia PRESS CONFERENCE za watu?
dah, Haki ya nani mwaka huu huyu Mzee anawafilisi, mtatoa mpaka hela za mifukoni mwenu alaf mulale njaa.