Lowassa ndani ya Scoan tv

Status
Not open for further replies.
Ehe! inaonekana amepeleka fungu la kumi....Na atabiriwe kabisa kua ni serikali ngapi zinafaa kwa sasa 1,2 au 3....
Hivi kanisa lake la LUTHERAN kwanin lisoimvue au limwambie ahamie kabisa SCAON kwani kashalihasi mwili upo Lutheran akili zipo kwa Joshua
 
"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa"

ametumia gharama kubwa sana kwenda Nigeria na amemwacha Mungu nyumbani kwake.
 
Ukiiba pesa za masikini lazima uanze kuweweseka, utubu. Na bado mpaka arudishe hizo hela fisadi mkubwa huyu



Aliiba Pesa wapi? Waziri mkuu sio meneja wa Benki wala duka la kubadilisha fedha.
Kupigua kifua kampuni ipate tenda sio dili ya ujambazi.Kwa mujibu wa Report ya Mwakyembe Lowassa alituhumiwa kwa kuingilia mchakato wa kumpata mzabuni wa kuzalisha umeme.
Hata hivyo hakuhojiwa na kamati ili bunge liambiwe kwamba ni kwa nini alifanya hivyo. Pia tume ya kuzuia rushwa ilipochunguza kama palikua na rushwa katika siala la richmond time ilisema hapakua na rushwa.Sasa huo unaouita wizi wa kumfanya asiende hata kusali uko wapi? Au wewe usafi wako ni wa kiasi gani cha kuweza kumchagulia Mungu waumini?
 
Kaonekana kwenye nyumba ya ibada, wengine wanaongea kwa dhihaka. Mkimuona kwa
waganga wa kienyeji anachanjwa chale ndio mtaona vyema?

umenena point watu kila kitu wana lalamika na ingekuwa sehemu mbaya ingekuwaje hata kufikiri ni tatizo
 
kutoka kwenye kikombe cha babu wa loliondo mpaka kwa t.b joshua?
 
kutoka kwenye kikombe cha babu wa loliondo mpaka kwa t.b joshua?
 
Badala aende hospitali tu,maana hata kukimbia hawezi
 
Kaonekana kwenye nyumba ya ibada, wengine wanaongea kwa dhihaka. Mkimuona kwa
waganga wa kienyeji anachanjwa chale ndio mtaona vyema?

...........huyo TB Joshua ni mganga tosha, ndoo maana wanakimbilia huo !
Unatoa pesa kwajina la sadaka na unaahidiwa unachotaka (Utajiri, Urais, na mengineyo ya Dunia):loco:
 
...........huyo TB Joshua ni mganga tosha, ndoo maana wanakimbilia huo !
Unatoa pesa kwajina la sadaka na unaahidiwa unachotaka (Utajiri, Urais, na mengineyo ya Dunia):loco:

ulitegemea aende kwa shekhe ndo uone yupo sahihi? na nyie mnapeleka kwa waganga wa kienyeji je??
 
Nibora huyu anaye enda kwa prophet tunamuona, siokama hao wanaoenda kwa waganga wa kienyeji usiku kucha👹
 
siku zote na duniani kot wanajadiliwa "man of action" like wanasiasa,so ukitaka ujadiliwe na wewe be "man of action" mwanga
 
Last edited by a moderator:

Unaweza ukawa hauko sahihi kwa kiac fulani kwa sababu km Mungu mwenyewe kawaweka manabii dunian ww mwanadamu unawezaje kuwakataa? Ni kweli manabii wa uongo wapo, la muhim ni kutokwenda kiholelaholela kwa sababu kwa kufanya hivyo unaweza kukutana na manabii wa uongo.
 
GO, Lowassa go!!! Acha wenye vijiba vya roho wajinyonge. Yesu ni zaidi ya wajuavyo.
 

Magufuli alishaanikwa kitambo kama ilivyokuwa kwa Lowassa (Angalia picha hapo chini), najaribu kuangalia yupi hasa alishapata upako wa TB Joshua kati ya hawa waliokwisha kwenda bado sipati jibu.



View attachment 149596
Lowassa


TB Joshua and Magufuli





Nafikiri nimetoa vielelezo jinsi watu hawa walivyoshiriki/walivyohudhuria maombezi na uponyaji wa Nabii huyo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…