Tuna huzuni na tumechoka! nchi gani hii ati ndio inasifika kwa amani.? wakati amani hakuna bali ni utulivu unaoambatana na woga uliopitiliza!Amani ya kulazimisha haitadumu!!!
ndio hapo tukawaita malofa na mapumbavu mil 6+40mil = 46 ml ambapo population inakadiririwa ml43.waliojiandikisha mil17 na ushee. Hizi ni hesabu ya Mkorea aliyeletwa kuchakachua hesabu. Hatusikii loloote Rais wa Tanzania kishapatikana. Tuuvunje tu huu muungano hauna faida au kila miaka mitano tuwe na hili gogoro la Zanzibar
Ni bora tu atoe tamko watu tuingie mstuni tuzichape ili heshima iwepo. Hakuna cha amani bali ni uvumilivu wa woga. Nasema tumechoka, tumechoka, tumechoka. Bora zipigwe tu ! Viongozi wetu watoe go ahead vijana tuingie msitune. ..
wameishawajua wafuasi wao ni patupu kichwani hivyo wanawageuza wanavyotaka. Hata mimi niliposikia ana siri kubwa moyoni ataitoa leo nilitulia nisikilize kumbe hamna kitu. Wamezoea kutengeneza siasa za matukio hao. Mr President Magufuli ni Rais wa Jamhuri wa Tanzania na Lowassa Rais wa Chadema@Ukawa hiyo haina tatizo katika katiba yetu kwani hata wamachinga wana Rais wao. Lakini mkubwa wao woote ni Mr President John P Magufuli. End of the story
hivi hilo ndo tamko zito lililokuwa linasubiriwa na wanaukawa kwa hamu???kitu gani kipya hapo kilichoongezeka ni yaleyale tu ya kila siku........hakuna jipya hakuna cha uzito ni upumbavu tu unaendelezwa
Ni bora tu atoe tamko watu tuingie mstuni tuzichape ili heshima iwepo. Hakuna cha amani bali ni uvumilivu wa woga. Nasema tumechoka, tumechoka, tumechoka. Bora zipigwe tu ! Viongozi wetu watoe go ahead vijana tuingie msitune. ..
Ni bora tu atoe tamko watu tuingie mstuni tuzichape ili heshima iwepo. Hakuna cha amani bali ni uvumilivu wa woga. Nasema tumechoka, tumechoka, tumechoka. Bora zipigwe tu ! Viongozi wetu watoe go ahead vijana tuingie msitune. ..
Nyie andikisheni majina wote mnaotaka kutwangana mtapewa eneo na silaha.
Mkishatosheka (kama utakuwa umenusurika) muombe eneo kwa ajili ya kilimo na ufugaji mtapewa wakufunzi wa kutosha na baada ya muda utakuwa na mawazo mazuri ya kujitegemea.