Lowassa CHADEMA imekubeba, ungepitishwa CCM hakika usingefurukuta

Lowassa CHADEMA imekubeba, ungepitishwa CCM hakika usingefurukuta

youngsharo

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,491
Reaction score
500
Hakuna kitu kizuri kama kutafakari upande wa pili wa shilingi,
Lowassa ukubali ukatae, kama ungepitishwa kugombea urais kupitia Ccm hakika ungekuwa umedondosha shilingi chooni, kundi lako lisingekutosheleza kwa kura, si kana kwamba hufai ila nasema hivyo nikiwa na maana yangu;

Ccm ni chama kilichochoka kabla ya kuchokwa na wananchi, kama ni mfatiliaji mzuri wa siasa hasa kundi la vijana kuna kauli wanaitumia kuwa hata upinzani wangeweka jiwe tungelipigia kura kwa nini waseme hivyo?

ni kwamba wameichoka Ccm iliyochoka na ndo maana wamebase upande wa upinzani.

Tukigeuza shilingi upande wa pili jibu linakuja hivi;

bila Lowassa upinzani ingekuwa vigumu kushinda, wafuasi wenu wasingetosheleza kuwapa kura za ushindi, kundi la watu alilowaongezea Lowassa limewapaisha juu kwani mpaka sasa ndani ya Ccm kuna wafuasi watampigia kura Mh Edward Lowassa.

Maana yangu ni kwamba Lowassa umepata advantage ya upinzani na upinzan pia umepata advantage kutoka kwako.

NAKUHAKIKISHIA USHINDI 25,OCTOBER.
 
~ be the first to reply~

Umeanza vizuri sana lakini umeharibu hiyo sentensi yako ya mwisho. Kwenye siasa hakuna kuhakikishiana kwani lolote laweza kutokea na mwanasiasa makini hujiandaa kwa lolote. Mara nyingine badilisha hitimisho lako liwe. Mungu Akipenda, Ushindi ni wako tarehe 25 Oktoba. Huna uwezo wa kumhakikishia mtu jambo lolote hasa katika siasa!
 
~ be the first to reply~

Umeanza vizuri sana lakini umeharibu hiyo sentensi yako ya mwisho. Kwenye siasa hakuna kuhakikishiana kwani lolote laweza kutokea na mwanasiasa makini hujiandaa kwa lolote. Mara nyingine badilisha hitimisho lako liwe. Mungu Akipenda, Ushindi ni wako tarehe 25 Oktoba. Huna uwezo wa kumhakikishia mtu jambo lolote hasa katika siasa!

Kwahiyo Kikwete aliposema anawahakikishia Watanzania Ushindi kwa CCM ni lazima alikuwa anakosea? Maana alisema maneno ya hivyo.
 
Hata mimi Lowassa angegombea kwa CCM nisingempigia kura
 
Hata Mimi Nisingempa Kura, UKAWA Imembaba Rais ajae Ndg yetu,Rafiki yetu, Kipenzi chetu na mtu Wa Watu Mh.Edward N. Lowassa.

Lowassa Wanaenda kuwa Rais Kwa Sababu ya Mambo haya:-

Kitengo walimpaisha walipoidhurum Haki yake waziwazi Pale Dodoma.

Matusi dhidi yake Kutoka kwa mahasimu wake ambao Hata Siku mMoja hakuwajibu..(Nape,Makonda,Polepole, Mkinga,Mtikira, nk).

Kusingiziwa Richmond Huku ikijulikana Amri ilitoka Juu.

Kuendeshs Siasa za Kiugwana na Kistaarabu.

Kuingia Uoande Wa Mabadiriko ma Kuimba wimbo Wa Mabadiriko.

Kuudhihisha Umma Wa Watz ya Kwamba Rais anaweza kKutoka popote Kwenye JMY ikiwepo Kaskazini.
 
Hata Mimi Nisingempa Kura, UKAWA Imembaba Rais ajae Ndg yetu,Rafiki yetu, Kipenzi chetu na mtu Wa Watu Mh.Edward N. Lowassa.

Lowassa Wanaenda kuwa Rais Kwa Sababu ya Mambo haya:-

Kitengo walimpaisha walipoidhurum Haki yake waziwazi Pale Dodoma.

Matusi dhidi yake Kutoka kwa mahasimu wake ambao Hata Siku mMoja hakuwajibu..(Nape,Makonda,Polepole, Mkinga,Mtikira, nk).

Kusingiziwa Richmond Huku ikijulikana Amri ilitoka Juu.

Kuendeshs Siasa za Kiugwana na Kistaarabu.

Kuingia Uoande Wa Mabadiriko ma Kuimba wimbo Wa Mabadiriko.

Kuudhihisha Umma Wa Watz ya Kwamba Rais anaweza kKutoka popote Kwenye JMY ikiwepo Kaskazini.

Haki yake?!!!
 
~ be the first to reply~

Umeanza vizuri sana lakini umeharibu hiyo sentensi yako ya mwisho. Kwenye siasa hakuna kuhakikishiana kwani lolote laweza kutokea na mwanasiasa makini hujiandaa kwa lolote. Mara nyingine badilisha hitimisho lako liwe. Mungu Akipenda, Ushindi ni wako tarehe 25 Oktoba. Huna uwezo wa kumhakikishia mtu jambo lolote hasa katika siasa!

hahaa, nimetoa sababu ndo maana namhakikishia ushindi HAKIKA USHINDI UPO.
 
Hapo unapaswa kuelewa kuwa sisi wengine tatizo letu si Mtu binafsi ni CCM!!

Hivyo yeyote atakayegombea kupitia CCM kwangu ni big NO!!

yes, haijalishi awe anafaa au hafai akigombea kupitia ccm ni kosa.
 
alipo nipo hata kama angegombea binafsi,,,kwanza kantoa ktk giza la ujng 'CHICHIEM' ,,Mungu mbariki LOWASSA, UKAWA TOSHA
 
What you are saying is probability..... It's not a fact..... There are some dynamism
 
Angepitishwa na CCM kugombea Uraisi yangetokea haya 1.angeshinda kwa asilimia 99.9 2.upinzani ungefutika kabisaa kwani wangepata viti 3 kama siyo 1 cha Mh. Zito kwa maana hii Dar angepeta sanaa Arusha ndo usiseme Mbeya ndo kabisaa Mwanza ndo mwisho wa maneno hivyo Upinzani ingekuwa kwishinee! LAKINI kuwepo Ukawa kafanya kazi kubwa sana na kawapa Faida kubwa sana Kawainua sana huoni Zanzibar? Mtitii wa Mh Mchakamchaka na Mh Saawaaa! Na bila ya Jembe chapa ya Mamba ambalo ni adimu sana sku hizi Mh JPM aahh! Ukawa ushindi ilikuwa asb mapema si kauli yangu ya Mh Lowasa!
 
Mh Lowasa ndo kaibeba Ukawa Dr au Prof wasingefurukuta kwa Mh Magufuri wasingeiona hata namba ili wasome yaani ingekuwa mbali Lakini Mh Lowasa kaisoma namba ina maana alikuwa karibu nao sana angeweza hata kuwapita!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom