Pole sana kwa kutumika!tuambie kwanza ulikula sh. ngapi?maana inaonekana ulitumika sana kibaya zaidi hauna hata unifomu ya chama afu umeficha uso wako na bango lako!nyie ndo mnatumika vilivyo leo uko UKAWA kesho uko CCM tumia akili yako sawasawa kama umeamua kuWA CCM hata hiyo sura yako ungeionyesha hadharani maana ndo chama tawala!