Siku Chadema wakijitambua ni pale wakijatambua
Badilisheni uongozi wa juu. Kuna watu wanatumia watu kujijenga wao na familia zao…
Kila mtu atatoa hesabu yake kwa muumba
Hizi sifa za huyu mwendazake hii nchi ilipakwa makaa ya moto
Hatujitambui
Tumesahau Richmond na mengineyo…