WANANCHI WA WAPI MKUU???? Tatzo lenu mnaamini WATANZANIA WA KUANDAMANA WANAPATIKANA jamii forum hizo ndizo akili ZENU ZINAVYOWATUMA.....what i believe kama ni mtu anaejitambua HUWEZI POTEZA MUDA WAKO KUSHABIKIA UJINGA ili hali hata RAIS awe nani kama huwezi jishughulisha mwenyewe hauwezi jiletea maendeleo mwenyewe......NA TENA WEWE UNAWEZA KUWA NI MMOJA WAO MNAOPIGA KELELE HUMU MITANDAONI LAKINI ACTION NI ZERO