challebahu maige nim
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 315
- 77
Nafikiri wangebuni vazi ambalo lingewakilisha vyama vyote vinavyo unda ukawa, vazi hilo pia lingetumika kwa wagombea wote wa ubunge na madiwani, hii ingesaidia kwa washabiki wa vyama hivyo kwani washabiki wengi hasa wa vijini hawana uelewa wa muungano huo, hii imejionyesha katika chaguzi za serikali za mitaa