hapo ndo ujiulize madiwani wa ccm ni wengi lakini haipendwi Arusha.jibu nadhani unalo:wizi wa kura uchaguzi mkuu 2010.mimi sioni UGUMU wa kujivunia kwa Arusha kama Mwenyekiti wa Jiji anatoka CCM.Hii inaonyesha madiwani wengi ni wa ccm.X
Arusha ni pagumu kweli kubadilika kwani bado wapo wengi kwao kuvaa nguo ni mwiko
Lowassa amewasikia,amewafikiaToyo hizi tutazitumia kuijenga chadema. ni kodi zetu.
Asante Lowassa
Waziri Mkuu Mjiuzulu na Mbunge wa Monduli,Edward Ngoyai Lowassa,amesema kuwa Jiji la Arusha ni gumu sana kisiasa hasa upande wa CCM. Lowassa aliyasema hayo jana hapa Arusha alipokuwa akizindua kampeni yake ya kichama ya kuwasaidia madereva wa pikipiki maarufu kama boda boda. Lowassa,dhahiri kabisa,alishangazwa na mapokezi hafifu ya kichama aliyoyapata huku akiarifiwa kuwa ziara hiyo haikubalikiwa na chama kiwilaya,kimkoa na hata kitaifa.
'Vijana wa Arusha wana bashasha kubwa. Ni wasikivu na waelewa.Lakini hawatabiriki kimaamuzi hasa ujapo wakati wa uchaguzi;wao na CHADEMA na CHADEMA na wao. Hapa pagumu sana.Arusha ni 'stronghold' ya CHADEMA' alisema Lowassa akionesha ukweli wa anachokisema.
'Nitakuwa makini na nivifanyavyo hapa Arusha kichama na kibinafsi' aliongeza Lowassa.
Chanzo: Mimi niliyekuwepo Arusha na sasa najiandaa kurejea Dar.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar (sasa Arusha)
Waziri Mkuu Mjiuzulu na Mbunge wa Monduli,Edward Ngoyai Lowassa,amesema kuwa Jiji la Arusha ni gumu sana kisiasa hasa upande wa CCM. Lowassa aliyasema hayo jana hapa Arusha alipokuwa akizindua kampeni yake ya kichama ya kuwasaidia madereva wa pikipiki maarufu kama boda boda. Lowassa,dhahiri kabisa,alishangazwa na mapokezi hafifu ya kichama aliyoyapata huku akiarifiwa kuwa ziara hiyo haikubalikiwa na chama kiwilaya,kimkoa na hata kitaifa.
Uzushi huuu mchana kweupe, source mimi mwenyewe niko Arusha, leo ijioni narudi Dar
'Vijana wa Arusha wana bashasha kubwa. Ni wasikivu na waelewa.Lakini hawatabiriki kimaamuzi hasa ujapo wakati wa uchaguzi;wao na CHADEMA na CHADEMA na wao. Hapa pagumu sana.Arusha ni 'stronghold' ya CHADEMA' alisema Lowassa akionesha ukweli wa anachokisema.
'Nitakuwa makini na nivifanyavyo hapa Arusha kichama na kibinafsi' aliongeza Lowassa.
Chanzo: Mimi niliyekuwepo Arusha na sasa najiandaa kurejea Dar.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar (sasa Arusha)
Waziri Mkuu Mjiuzulu na Mbunge wa Monduli,Edward Ngoyai Lowassa,amesema kuwa Jiji la Arusha ni gumu sana kisiasa hasa upande wa CCM. Lowassa aliyasema hayo jana hapa Arusha alipokuwa akizindua kampeni yake ya kichama ya kuwasaidia madereva wa pikipiki maarufu kama boda boda. Lowassa,dhahiri kabisa,alishangazwa na mapokezi hafifu ya kichama aliyoyapata huku akiarifiwa kuwa ziara hiyo haikubalikiwa na chama kiwilaya,kimkoa na hata kitaifa.
'Vijana wa Arusha wana bashasha kubwa. Ni wasikivu na waelewa.Lakini hawatabiriki kimaamuzi hasa ujapo wakati wa uchaguzi;wao na CHADEMA na CHADEMA na wao. Hapa pagumu sana.Arusha ni 'stronghold' ya CHADEMA' alisema Lowassa akionesha ukweli wa anachokisema.
'Nitakuwa makini na nivifanyavyo hapa Arusha kichama na kibinafsi' aliongeza Lowassa.
Chanzo: Mimi niliyekuwepo Arusha na sasa najiandaa kurejea Dar.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar (sasa Arusha)
mimi sioni UGUMU wa kujivunia kwa Arusha kama Mwenyekiti wa Jiji anatoka CCM.Hii inaonyesha madiwani wengi ni wa ccm.X
Waziri Mkuu Mjiuzulu na Mbunge wa Monduli,Edward Ngoyai Lowassa,amesema kuwa Jiji la Arusha ni gumu sana kisiasa hasa upande wa CCM. Lowassa aliyasema hayo jana hapa Arusha alipokuwa akizindua kampeni yake ya kichama ya kuwasaidia madereva wa pikipiki maarufu kama boda boda. Lowassa,dhahiri kabisa,alishangazwa na mapokezi hafifu ya kichama aliyoyapata huku akiarifiwa kuwa ziara hiyo haikubalikiwa na chama kiwilaya,kimkoa na hata kitaifa.
'Vijana wa Arusha wana bashasha kubwa. Ni wasikivu na waelewa.Lakini hawatabiriki kimaamuzi hasa ujapo wakati wa uchaguzi;wao na CHADEMA na CHADEMA na wao. Hapa pagumu sana.Arusha ni 'stronghold' ya CHADEMA' alisema Lowassa akionesha ukweli wa anachokisema.
'Nitakuwa makini na nivifanyavyo hapa Arusha kichama na kibinafsi' aliongeza Lowassa.
Chanzo: Mimi niliyekuwepo Arusha na sasa najiandaa kurejea Dar.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar (sasa Arusha)
Nasubiri thread yako kuhusu swala la filamu ya Maudodo
Huu ni upu. mbavu na ni kielelezo cha kufikia ukomo wa kufikiri, kutafakari na kung'amua njia mahsusi ya kupambana na ukosefu wa ajira kwa vijana.
Mi hainiingii akilini kamwe kuzifanya pikipiki kuwa ndo mkombozi ama utatuzi wa tatizo la ajira nchini. Kila uchao ajali za bodaboda zinaongezeka na kupoteza maisha ya vijana wetu na hata wengine kubakia na ulemavu wa kudumu.......Hawa wanaopoteza maisha yao na viungo vyao ni nguvu kazi hii tunaipoteza.
Badala ya kuentertain pikipiki kuwa chombo cha kubeba abiria (naamini hairuhusiwi kisheria), kwa kuwapa pikipiki na kuwapongeza kufanya hivyo, serikali ilipaswa kuboresha sekta ya kilimo, viwanda ili vijana hao waelekezwe huko kwa manufaaa yao binafsi na taifa kwa ujumla.
BIASHARA YA BODABODA HAINA MASLAHI KWA VIJANA NA TAIFA, HAINA FUTURE!
TUACHE KUTOA MAJIBU MEPESI KWA MASWALI MAGUMU YANAYOTUSIBU KAMA TAIFA......T
BODABODA SIO JIBU SAHIHI KWA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA.
WAENDESHA BODABODA NI JESHI LINGINE TUNALITENGENEZA HILI.
Mie nimehoji na kuomba mtazamo wa Wana JF juu ya ukimya usio wa Kawaida wa vijana wa Lumumba hasa Ritz na @Nnape Nauye kutosema chochote juu ya sakata la sinema ya Lwakatare. Inamaanisha nini?
Huyu angeenda kufuga ng'ombe na kutumbua pesa za ufisadi kabla hatujamtafuna...ni kati ya niwatamanio siku kikinuka bongo!
Lowassa ni kinara wa kufanya Arusha iwe ngumu dhidi ya CCM baada ya 2005 kutumia pesa nyingi kuhakikisha mgombea wake (Batilda) anateuliwa na CCM na hatimaye kuwa mbunge we Arusha. Alishirikiana na Yusuf Makamba, kuna kashfa hadi za kutengeneza kadi feki za CCM ili Batilda ashinde uteuzi ndani ya Chama ndipo ilibidi kufanyike uasi na kuipata ushindi Chadema ambayo nayo imeyumba, kila mkutano inasomba watu kutoka Karatu, Hai na Arumeru kujaza uwanja. Ndiyo ukweli, hutaki unaacha lakini utashuhudia ukweli huo mwenyewe 2015.