britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Naanza Kwa Kukusihi Moderator Usi Move Uzi Huu,
Edward Lowassa Ana Faida Kwa Taifa Ili Mfano
1. Atatumika Kama Case Study Ya Kufundishia Somo La Ubadhilifu Wa Fedha,Au Kama Sample Space Kwa Masomo Ya Chini Juu Ya Ufisad
2. Ikitokea Waziri Mkuu Yeyote Akiwa Fisadi, Bunge Linaweza Kutumia Maamuz Ya Ku Refer Jinsi El Alivyowajibishwa
3. Maaskofu Watakuwa Makin Sana Na Kila Sadaka Inayotolewa Na Malengo Yake, Pia Wahumin Watatambua Aina Ya Maaskofu
4. Taifa Halitapuuza Tena Ushauri Wa Waasisi Kama Nyerere
5. Rais Yeyote Hatakuja Kumpa Mtu Ambaye Ni Rafik Alopitiliza Uwazir Mkuu,
6. Kesi Za Ubadhilifu Ztakuwa Zinapelekwa Mapema Mahakaman Kukwepa Yaliyomtokea Jk Kwa El
7. Imeleta Tathmin Ya Zao La Wasomi Tunaozalisha Kama Taifa Hawa Reason Hasa Lissu
8. Itadhihirisha Kuwa Pesa Haiwez Kununua Kila Kitu Hasa Urais Wa Nchi
9. Ukigeu Geu Wa Wanasiasa Wa Ulimwengu Wa 3, Mbowe, Sumaye Na Cdm,
10. Kutoa Ushahid Mapema Kabla Ya Hatua Muhim Kuliko Kukaa Na Makaratas Kama Dr Slaa Anayatoa Akguswa,
PIA NAWE NIPE FAIDA
Edward Lowassa Ana Faida Kwa Taifa Ili Mfano
1. Atatumika Kama Case Study Ya Kufundishia Somo La Ubadhilifu Wa Fedha,Au Kama Sample Space Kwa Masomo Ya Chini Juu Ya Ufisad
2. Ikitokea Waziri Mkuu Yeyote Akiwa Fisadi, Bunge Linaweza Kutumia Maamuz Ya Ku Refer Jinsi El Alivyowajibishwa
3. Maaskofu Watakuwa Makin Sana Na Kila Sadaka Inayotolewa Na Malengo Yake, Pia Wahumin Watatambua Aina Ya Maaskofu
4. Taifa Halitapuuza Tena Ushauri Wa Waasisi Kama Nyerere
5. Rais Yeyote Hatakuja Kumpa Mtu Ambaye Ni Rafik Alopitiliza Uwazir Mkuu,
6. Kesi Za Ubadhilifu Ztakuwa Zinapelekwa Mapema Mahakaman Kukwepa Yaliyomtokea Jk Kwa El
7. Imeleta Tathmin Ya Zao La Wasomi Tunaozalisha Kama Taifa Hawa Reason Hasa Lissu
8. Itadhihirisha Kuwa Pesa Haiwez Kununua Kila Kitu Hasa Urais Wa Nchi
9. Ukigeu Geu Wa Wanasiasa Wa Ulimwengu Wa 3, Mbowe, Sumaye Na Cdm,
10. Kutoa Ushahid Mapema Kabla Ya Hatua Muhim Kuliko Kukaa Na Makaratas Kama Dr Slaa Anayatoa Akguswa,
PIA NAWE NIPE FAIDA