Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,700
Uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu mno kwa upande wa CCM,ukipanda Daladala Lowasa,vijiweni Lowassa.Ila ya leo ni kali zaidi.Nikiwa
Katika harakati za weekend napata moja moto moja baridi Pale Calabash Pub Mwenge Dar ambapo huwa wanapiga live band basi Umeme ulikatika ghafla wakati watu wakiserebuka kwa muziki.Umeme ulivyokata ghafla ulirudi ukiwa na nguvu kidogo kwa dakika kama kumi hivi.
Hapo ndo Lowassa alipoibuka mshindi kwani watu ghafla wakaanza kuimba Lowasa Mabadiliko wakifuatisha midundo ya ngoma.Wakati jina Lowassa linatamkwa watu walichangamka mno hadi dance floor ikajaa maana hata waliokuwa hawachezi walinyanyuka kucheza kibwagizo cha Lowassa japo kuna wengine walikuwa wanataja Magufuli ila walifunikwa kwa kila kitu.
Hii hali inaonyesha muamko mkubwa wa Wananchi mwaka huu maana kila sehemu ni Lowassa
Katika harakati za weekend napata moja moto moja baridi Pale Calabash Pub Mwenge Dar ambapo huwa wanapiga live band basi Umeme ulikatika ghafla wakati watu wakiserebuka kwa muziki.Umeme ulivyokata ghafla ulirudi ukiwa na nguvu kidogo kwa dakika kama kumi hivi.
Hapo ndo Lowassa alipoibuka mshindi kwani watu ghafla wakaanza kuimba Lowasa Mabadiliko wakifuatisha midundo ya ngoma.Wakati jina Lowassa linatamkwa watu walichangamka mno hadi dance floor ikajaa maana hata waliokuwa hawachezi walinyanyuka kucheza kibwagizo cha Lowassa japo kuna wengine walikuwa wanataja Magufuli ila walifunikwa kwa kila kitu.
Hii hali inaonyesha muamko mkubwa wa Wananchi mwaka huu maana kila sehemu ni Lowassa