Lowasa na Pesa za kumwingiza Ikulu 2015

Lowasa na Pesa za kumwingiza Ikulu 2015

jembe la kigoma

Senior Member
Joined
Mar 23, 2012
Posts
119
Reaction score
19
Imebainika kuwa zile harambee anazoalikwa waziri mkuu aliejiudhuru kwa kashfa ya ufisadi Edward Lowasa na kwenda kuchangia mamilioni ya fedha makanisani na baadhi ya misikiti na taasisi zingine ni masharti ya kuingia Ikulu kama rais ajaye wa Tz, kwa mujibu wa taarifa nilizozipata ambazo hazijathibitishwa rasmi na pande zote mbili,

inadaiwa kuwa alipewa sharti la kurudisha sehemu ya mali zake (fedha) alizozipata kwa njia isiyohalali (ufisadi, wizi na rushwa) azirudishe kwa wananchi wake, sharti hilo kwa mala ya kwanza inadaiwa alipewa na kiongozi mmoja wa dini nchini Islaeli mwaka 2011,

Inadaiwa mwanzoni alipuuzia agizo hilo lakini akaja kushtushwa na mambo kadhaa yaliyokuwa yanamtokea ikiwemo lile la kuitwa Gamba na chama chake cha CCM na viongozi wake huku umma ukiwa unamchukia, na kwa mala ya pili alikuja ambiwa na mhubili maarufu wa kutoka Nigeria Tib Joshua, inasemekana nabii huyo alimwambia ameoteshwa kuwa kuna mali nyingi Lowasa anamiliki alizozipata kwa njia isiyo halali nchini mwake,

Hivyo akamwonya asipotubu na kuwarudishia aliowadhurumu hatapata toba ya kweli,ataandamwa na mikosi na mabalaa lakini kubwa zaidi asahau kuja kuwa rais nchini mwake mpaka pale atakapo zilejesha mali hizo, unaambiwa Lowasa ambaye pia ni mbunge wa monduli aliogopa na kutishika na maono hayo hasa ikizingatiwa ni kwa mala ya pili anaambiwa jambo lilelile na watumishi wa Mungu,ndipo washauri wake wakamshauri azirudishe kwa njia za kuchangia huduma za kijamii na makanisani,mna misikitini, na taasi mbalimbali zenye uhitaji,inadaiwa aliambiwa arudishe fedha zaidi ya bilioni 2 za kitanzania,so mzee hakuwa na budi huku ikizingatiwa kuwa urais nao anautaka na kuupenda

  • :iamwithstupid:
My take kama habari hizi ni za kweli namshauri azirudishe fedha zetu watanzania then asijihusishe na siasa, ikiwezekana atafute kazi nyingine ya kufanya hat akiwa Mchungaji, itapendeza ujuzi na mipango yake mingi ikawa ya kuwaokoa wanadamu na kuaonesha njia ya kweli ya Mungu hakika atakuwa amejijengea THAWABU na hazina kubwa mbinguni kuliko kuwa rais ambaye itambidi atoe maamuzi mengine yatakayomwuzi Mungu na kumtia hasira.
 
non sense, hivi ukitoa harambee makanisani kwa hela uliyotuibia inatusaidia kupata madawa mahosipitalini? maji safi? barabara nzuri na huduma nyingine za kijamii?
la mwisho, kweli hela ni tamu, mpaka hata mungu anazimezea mate hela za ufisadi. kweli hela ni noma.
 
Imebainika kuwa zile harambee anazoalikwa waziri mkuu aliejiudhuru kwa kashfa ya ufisadi Edward Lowasa na kwenda kuchangia mamilioni ya fedha makanisani na baadhi ya misikiti na taasisi zingine ni masharti ya kuingia Ikulu kama rais ajaye wa Tz,kwa mujibu wa taarifa nilizozipata ambazo hazijathibitishwa rasmi na pande zote mbili,inadaiwa kuwa alipewa sharti la kurudisha sehemu ya mali zake (fedha)alizozipata kwa njia isiyohalali(ufisadi,wizi na rushwa)azirudishe kwa wananchi wake,sharti hilo kwa mala ya kwanza inadaiwa alipewa na kiongozi mmoja wa dini nchini Islaeli mwaka 2011,......

Kaulizie kwanza maana ya Harambee.
 
Imebainika kuwa zile harambee anazoalikwa waziri mkuu aliejiudhuru kwa kashfa ya ufisadi Edward Lowasa na kwenda kuchangia mamilioni ya fedha makanisani na baadhi ya misikiti na taasisi zingine ni masharti ya kuingia Ikulu kama rais ajaye wa Tz, kwa mujibu wa taarifa nilizozipata ambazo hazijathibitishwa rasmi na pande zote mbili,

inadaiwa kuwa alipewa sharti la kurudisha sehemu ya mali zake (fedha) alizozipata kwa njia isiyohalali (ufisadi, wizi na rushwa) azirudishe kwa wananchi wake, sharti hilo kwa mala ya kwanza inadaiwa alipewa na kiongozi mmoja wa dini nchini Islaeli mwaka 2011,

Inadaiwa mwanzoni alipuuzia agizo hilo lakini akaja kushtushwa na mambo kadhaa yaliyokuwa yanamtokea ikiwemo lile la kuitwa Gamba na chama chake cha CCM na viongozi wake huku umma ukiwa unamchukia, na kwa mala ya pili alikuja ambiwa na mhubili maarufu wa kutoka Nigeria Tib Joshua, inasemekana nabii huyo alimwambia ameoteshwa kuwa kuna mali nyingi Lowasa anamiliki alizozipata kwa njia isiyo halali nchini mwake,

Hivyo akamwonya asipotubu na kuwarudishia aliowadhurumu hatapata toba ya kweli,ataandamwa na mikosi na mabalaa lakini kubwa zaidi asahau kuja kuwa rais nchini mwake mpaka pale atakapo zilejesha mali hizo, unaambiwa Lowasa ambaye pia ni mbunge wa monduli aliogopa na kutishika na maono hayo hasa ikizingatiwa ni kwa mala ya pili anaambiwa jambo lilelile na watumishi wa Mungu,ndipo washauri wake wakamshauri azirudishe kwa njia za kuchangia huduma za kijamii na makanisani,mna misikitini, na taasi mbalimbali zenye uhitaji,inadaiwa aliambiwa arudishe fedha zaidi ya bilioni 2 za kitanzania,so mzee hakuwa na budi huku ikizingatiwa kuwa urais nao anautaka na kuupenda

  • :iamwithstupid:
My take kama habari hizi ni za kweli namshauri azirudishe fedha zetu watanzania then asijihusishe na siasa, ikiwezekana atafute kazi nyingine ya kufanya hat akiwa Mchungaji, itapendeza ujuzi na mipango yake mingi ikawa ya kuwaokoa wanadamu na kuaonesha njia ya kweli ya Mungu hakika atakuwa amejijengea THAWABU na hazina kubwa mbinguni kuliko kuwa rais ambaye itambidi atoe maamuzi mengine yatakayomwuzi Mungu na kumtia hasira.
Jembe la Kigoma,usisahau kuwaambia wananchi wa kigoma wakati wa sherehe za ccm, wawaambie hao viongozi kwamba,mji unaotakiwa kujengwa kigamboni ukajengwe kigoma maana Kikwete aliaidi kuwa kigoma itakuwa dubei
 
Unawezaje kuja hapa mtu mzima ukaandika upuuzi kama huu? Cant you think even alittle.

Kwa nini watu wazima wana muda wa kupoteza wakati watu wengi wako bussy kukomboa nchi yao? Watz wa namna hii ..... BURE KABISA.!!!
 
baadhi ya misikiti na makanisani???????????????????!!!!!!!!!!!! biased
 
wewe jembe la KIGOMA,unaandika je mambo ya kusadikika humu ndani,tuambie vitu vyenye evidence na realiable source cyo bla bla na story za vijiweni.thatz a cheap politics.
 
good adivice unapomaliza kuandika jambo kabla ya kupost hebu jaribu kuliedit kwanza ukiona umeandika zero point delete kisha ushugulishe kichwa ok.
 
Back
Top Bottom