Ivon ng'umbi
Member
- Jan 5, 2012
- 39
- 4
Kila msichana nikimtongoza ninakuwa na mahusiano mazuri mwanzoni,ila baada ya muda mfupi tunaingia ktk mgogoro.Hii imenitokea takriban kwa wasichana saba..! Nifanyaje ili niepuke tatizo hili.
Kila msichana nikimtongoza ninakuwa na mahusiano mazuri mwanzoni,ila baada ya muda mfupi tunaingia ktk mgogoro.Hii imenitokea takriban kwa wasichana saba..! Nifanyaje ili niepuke tatizo hili.
Kila msichana nikimtongoza ninakuwa na mahusiano mazuri mwanzoni,ila baada ya muda mfupi tunaingia ktk mgogoro.Hii imenitokea takriban kwa wasichana saba..! Nifanyaje ili niepuke tatizo hili.
Kila msichana nikimtongoza ninakuwa na mahusiano mazuri mwanzoni,ila baada ya muda mfupi tunaingia ktk mgogoro.Hii imenitokea takriban kwa wasichana saba..! Nifanyaje ili niepuke tatizo hili.
inawezekana unaboa......wasichana huwa tunapenda kuwa na mtu ambae......wenzio wakimuona wanamuapreshieti.......tunapenda sana mabobishi tukiwa na kina baby...........
wao huwa wanakwambia Huwa wanalalamikia sana nin kwako??