Mpe ushauri mbona unamcheka tena,ndiyo ndugu zetu hawa wa dar usishangae wanapokezana pia vioo na dada zao.mwanaume lotion ya nini unakula chapati unajipaka yale mafuta yanayobaki mikononi tu usoni na ukioga haina haja ya taulo unajipukutisha maji kama mbwa