..jibu la swali hili liko wazi. atasema "hivi sasa tunajitahidi kuongeza mapato yetu ili kupunguza utegemezi,kwani si vizuri kutegemea sana wafadhili. wakati mwingine hawatimizi ahadi zao. kwahiyo,suala hilo tayari linafanyiwa kazi"
..kama namwona vile,akitoa hilo jibu. infact,naisikia sauti yake masikioni!