Looking for partiners in Opening a small industry

Looking for partiners in Opening a small industry

Joined
Jun 19, 2015
Posts
46
Reaction score
7
Hellow guys, Napenda kujulisha vijana wenzangu ambao wamejikita kutafuta ajira, natafuta watu kama 12 ili tufike 20, tufungue kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji(Production of Cleanliness materials kama Liquid soap, powder soap, windows cleaners, Disinfectants, Sprays n.k) na utoaji wa huduma ya usafi kwa makampuni mbali mbali...tayar tumeishafanya usajir, tunasubir kumalizia TIRDO, TFDA na TBS ili tuanze production mapema mwezi wa Tisa.....
Sifa za partiner
1.Awe ni mchapakazi kwani kwa kuanza tutafanya production na sales sisi wenyewe.
2.Awe na uwezo wa kutafuta tender katika supermaket mbali mbali na baadhi ya maduka ya cosmetics na ya mtaani
3.Awe atleast ana elimu ya marketing, Finance, IT, Chemical processing, Procurement n.k
4.Awe around Dsm.
5.Kama anakazi anaruhusiwa kua partiner kama jinsi our partnership deed itakavyo ainisha katika malipo na gawiwo.

Kianzio ni 500,000 kwa kila membe hahitaji kukituma sehemu yoyote ile, bali...kikao tutakutana mwezi unaoanza wa tisa mapema..utajulishwa ambae utakua umecomfirm kwenye no 0766-088461.
Kwa kutoa huo mchango au kianzio kwa kila mmoja atakitoa kwa makubaliano maalumu ya kisheria ambayo tuta sign kwa document inayokubalika mahakamani.
Alie interested tuwasiliane, kupitia
Barua pepe:ndegeyae@gmail.com
Cintact no. 0766-088461
Karibuni.
 
Jinsia zote wanakubalika atleast age from 1
21-40 yrs...tuweze kukuza na kuendeleza kiwanda chetu...ipo na business plans na baadhi ya documents ambae atahudhuria atavikuta vyoote...KARIBUNI Saana guys..Ndo ujasiliamali wenyewe huu tucsubiri watu watoke nje ya nchi waje waanzishe then watuajiri kwa manyanyaso na kutulipa mishahara midogo wkt na cc tunaweza
 
Wazo zuri ikiwa hakuna ubabaishaji ndani yake
 
Hakuna ubabaishaji wowote Bigurube, ni official na ipo na kampuni tayar registered..ndo tunataka tu tuwe kama 20 hvi tufanye kazi......
 
Hizo zote kila mmoja atazijua tukikutana katika kikao cha ma partiners ambao tutakubaliana...tulianza kama.....Sole proprietor..so..tunataka tuifanye iwe partiners iki kila member awe anajua..ofisi ipo kimara suka....
Coy inaitwa:Ng'arisha Investment Group
 
Hizo zote kila mmoja atazijua tukikutana katika kikao cha ma partiners ambao tutakubaliana...tulianza kama.....Sole proprietor..so..tunataka tuifanye iwe partiners iki kila member awe anajua..ofisi ipo kimara suka....
Coy inaitwa:Ng'arisha Investment Group

Mimi napenda sana vijana wenye mawazo kama haya ,napenda kuwa member wa kampuni yenu but sikai tanzania, naweza kuwa mtoaji mchango na kugawana profits if possible, nitafute kwenye (nestoryedward@yahoo.com)
 
mimi Ni Mtaalam wa Usafi na Mazingira mwenye degree,nimesajiliwa na nina Leseni ya kufanya hii shughuli...so katika kutafuta tender za usafi na fumigation I can help u with agreement and I can serve as consultant in your campany...so nipm kama mko ready niwape huduma....
 
Back
Top Bottom