Nikiwa kama mume lazima nihakikishe mke anapata huduma Bora na malezi mazuri ya watoto, kazi ni majaliwa tu ya Mungu. Pia kazi sio lazima kuajiriwa.
Hata Mimi mume wako naweza nikaku-capacitate halafu mambo yakanyooka kwa manufaa makubwa ya familia ambayo Mungu atatubariki pamoja