Hizo sifa zake alizotoa tu unajiongeza mwenyewe......
Naomba tu kuuliza, watu hua wanawezaje kua na urafiki wa kupanga au kuomba? Mie kwangu urafiki unatokea tu si amui kwamba natafuta rafiki, kwa maana hiyo rafiki kwa maana ya urafiki anaweza akawa mtu yeyote wa dini, kabila au umri wowote hiyo ni kwangu lakini na ikumbukwe inatokea tu kutokana na baadhi ya vitu yetu kuendana bila kupanga.