Kivule
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 639
- 662
Habari ndugu zangu, mimi ni mhitimu wa shahada ya Sayansi ya Elektroniki na mawasiliano.
Nilikua naomba kama kuna mtu anaweza nisaidia nafasi ya kufanya kazi ya kujitolea katika kampuni yake/yao ili niweze kuongeza ujuzi katika fani husika.
Katika miaka yangu ya chuo niliopitia nina wastani wa kupata GPA ya 4.0 kati ya 5.0
Naimani umu JF kuna watu wa rika mbalimbali na wenye ujuzi mbalimbali hivyo naimani mtanisaidia.
Ahsanteni.
Nilikua naomba kama kuna mtu anaweza nisaidia nafasi ya kufanya kazi ya kujitolea katika kampuni yake/yao ili niweze kuongeza ujuzi katika fani husika.
Katika miaka yangu ya chuo niliopitia nina wastani wa kupata GPA ya 4.0 kati ya 5.0
Naimani umu JF kuna watu wa rika mbalimbali na wenye ujuzi mbalimbali hivyo naimani mtanisaidia.
Ahsanteni.