kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,035
- 2,211
Nibaada ya long distance relationship yapata miez kama 6 iv tunawasiliana vizurri tu kwa simu leo nimeenda mkoan anapoish huyo bidada nimekaa siku ya kwanza yapil akaniacha kwenda sokon nikafungua kabat nikakuta vipimo vya mimba used UPT vili test positive kuwa anamimba nawaza bado anayo iyo mimba au alitoa nimebak mdomo waz amerud nipo out of mood ila nafake smile nadhan itabid nifanye maamuz kama mwanaume. This is second time long distance inanitendea vibaya . wadada msitufanyie iv hata kama mnafanya basi hakikisha unafutilia mbali ushahid nadhidi kuchukia kuoa
