Kuna Mtanzania mmoja alitoka kushiriki hayo mashindano anaulizwa tatizo ni nini anasema aligundua hana maji mwilini.
Yaani nilishikwa na Hasira sana ni mjinga Kuliko maelezo yaani fikiria watu wameenda kushiriki mbio yeye anasingizia kuwa hakuwa na maji mwili.
Pumbavu sana popote pale Ulipo.