Loan Board wanaanza kutukata lini?

Loan Board wanaanza kutukata lini?

Sir Teacher

Senior Member
Joined
Nov 16, 2015
Posts
111
Reaction score
99
Kwa walimu walioajiriwa mwaka huu 2015 mwezi wa tano, ivi Loan Board wanaanza kutukata lini pesa?
 
Kila mmoja atakatwa kwa wakati wake, usishangae wakakuanza mwez huu
 
UNATAKIWA KUJISALIMISHA LOAN BOARD MWENYEWE. ukisubiri wakutafute unalimwa penati ya asilimia 10 ya deni lako. halahala jipeleke mwenyewe waanze kukata deni lao.
 
Loan board hawapo makini kwenye suala LA kufuatilia watu wanaofanya kazi kwenye taasisi zote maana k una watu wengi sana walianza kazi longtime wanashangaa kwanini hawajaanza kukatwa inatakiwa wafuatilie na kutoa adhabu kwawaajiri kama mifuko ya kijamii inavyofanya
 
Mimi bnafsi nmeanza kukatwa mwezi uliopita.. Na nmeangalia fomu ya deni imeandikwa loan repayment must commence/begin before 01 Dec 2015.... So sina jinsi ya kulalamika kuwa mwaka haujaisha tangu nianze ajiraa
 
Loan board hawapo makini kwenye suala LA kufuatilia watu wanaofanya kazi kwenye taasisi zote maana k una watu wengi sana walianza kazi longtime wanashangaa kwanini hawajaanza kukatwa inatakiwa wafuatilie na kutoa adhabu kwawaajiri kama mifuko ya kijamii inavyofanya

Inawezekana ni wakopaji wa kudumu, hivyo hawana 'take home' ya kukata.
Mdeni mpya anapaswa anabaikiza 2/3 ya mshahara.
 
Back
Top Bottom