Loan allocation loading.....69% please keep on waiting

loanbreakdown nahisi had tar 29 ila Nakmbka walsema kila kitu ktakuwa OK b4 vyuo havijafnguliwa so nashangaa wengine j3 wanafungua sa sjui wanaendaje chuo. au walpe Ada tu
Sasa utalipaje ada kabla hujajua perc ya mkopo uliyopewa? Ukiendelea kukaa nyumbani na kusubiri bodi itoe mchanganuo unajidanganya, cha msingi nenda karipoti chuo wiki ya kwanza utakuta wamesha bandika kila kitu.
Pia unaweza usione jina lako kwenye list ya loan board lakini ukienda chuoni unakuta jina lako lipo na mkopo umepewa asilimia kadhaa.
Mimi nashauri nendeni chuoni kila kitu mtakuta huko huko.
Mimi nakumbuka first year nilipewa asilimia 0, hata pesa ya field sikupata nikaambulia boom tu, likini mwaka wa pili huwa wanatoa majina tena nikakuta bodi imeniongezea 80 percnt na pesa ya field juu.
 
sasa Mkuu tunaenda mikono mitupu bila hata ada tutasajiliwa kweli na masomo soon yanaanZa
 
Ningekua nyie wala nisingechukua mkopo, kwa sasa huwezi nielewa ila uchungu wa mkopo utaujua ukianza kazi.
 
sasa Mkuu tunaenda mikono mitupu bila hata ada tutasajiliwa kweli na masomo soon yanaanZa
Tafuta nauli ya kwenda na kurudi, ukipata mkopo unaendelea na masomo ukiokosa unarudi nyumbani. Chaguo ni lako au unaweza mtumia jamaa yako ambae mmepangwa nae chuo kimojaa akuangalizie kama umepata lakini hii pia ni risk kutokana na changamoto za usajili anaweza kukwambia umekosa kumbe umepewa mkopo huwa inajitokeza pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…