L LUIS EMAZ Member Joined Jan 10, 2014 Posts 39 Reaction score 3 Mar 23, 2014 #1 Sasa ni mechi ya sita wakishinda mfululizo tena kwa mabao zaidi ya mawili.Wanacheza kitimu halafu kuna SAS,je wataweza?
Sasa ni mechi ya sita wakishinda mfululizo tena kwa mabao zaidi ya mawili.Wanacheza kitimu halafu kuna SAS,je wataweza?
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Mar 25, 2014 #2 hakuna lisilowezekana chini ya jua
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Mar 25, 2014 #3 we will never walk alone
The Magnificent JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 2,694 Reaction score 1,250 Mar 25, 2014 #4 Inawezekana. Kwani kuna timu imeandikiwa ubingwa?
wewekussa Member Joined Mar 8, 2014 Posts 59 Reaction score 8 Mar 25, 2014 #5 luis emaz said: sasa ni mechi ya sita wakishinda mfululizo tena kwa mabao zaidi ya mawili.wanacheza kitimu halafu kuna sas,je wataweza? Click to expand... kamuulize kocha
luis emaz said: sasa ni mechi ya sita wakishinda mfululizo tena kwa mabao zaidi ya mawili.wanacheza kitimu halafu kuna sas,je wataweza? Click to expand... kamuulize kocha
I island JF-Expert Member Joined Nov 26, 2013 Posts 1,065 Reaction score 836 Mar 25, 2014 #6 Liva akishinda mechi zake zote zilizobaki anabeba kombe ,kwa hiyo liko mikononi mwao ..
Kibo10 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 11,278 Reaction score 8,868 Mar 25, 2014 #7 Sio wataweza mzigo ni wao eeh!
Gwamahala JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 3,925 Reaction score 2,327 Mar 25, 2014 #8 It is possible... YNWA
M matenene JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 477 Reaction score 158 Mar 26, 2014 #9 Hata kama wanasema mpira hautabiriki, Liverpool kuufikiria ubingwa ni sawa na Moro kuwazia bahari. Wajipange kwa mwakani. Arsenal nao tehe tehe tehe
Hata kama wanasema mpira hautabiriki, Liverpool kuufikiria ubingwa ni sawa na Moro kuwazia bahari. Wajipange kwa mwakani. Arsenal nao tehe tehe tehe