Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,237
Makumi ya maelfu ya watu wamemuaga
aliyekuwa bondia shupavu Muhammad Ali nyumbani kwake katika mji wa Louisville huko Kentucky.
17.00pm:Karibu katika mazishi ya Muhammad Ali. Umati mkubwa wa watu utachukua mwili wake na kuupitisha katika maeneo muhimu ya maisha
yake kabla ya kupelekwa katika maziko.
17.05pm: Msafara huo unatarajiwa kuchukua takriban saa moja na nusu
17.09
m :Gari lililobeba mwili wa Ali bado halijaondoka katika nyumba ya ibada ya mazishi lakini watu wengi wamejipanga kando kando ya barabara kuupokea na kumuaga shujaa wao.
Mwili wa Ali bado haujawasili lakini mamia ya watu wa Loisvile wamejipanga barabarani kuweza Kushuhudia shujaa wao!
Rais Obama hatakuepo kwa sababu ya Graduation ya Mwanae Maria ambaye anahitimu high school leo lakini Rais Bill Clinton atakuepo!
Safari ya Mwisho ya Mohamed Ali imeanza Nje ya Nyumba yenye msiba kuna nguo zilizoandikwa maandishi ya Kiarabu huku makundi ya watu yakiimba jina lake "Ali" "Ali"
Hapa ndipo Mohamed ali Alipokulia
Kutokana Na msemo wa Muhammad Ali’s “Float like a butterfly, sting like a bee,” Gari nyingi zina alama ya Kipepeo
Shabiki akiwa msibani na alama ya kipepeo
Gari aina ya Cadilac XT ikiwa imepambwa na bendera ya kipepeo
Wakazi wa Louisvile wakiwa msibani
Aliyekuwa gwiji wa mchezo wa mpira wa vikapu upande wa wanaume Kareem Abdul Jabar
amemtaja Ali kuwa nduguye na rafiki mkubwa katika mahojiano na BBC.Amesema kwamba walijuana tangu walipokuwavijana.Muhammad
Ali ni mfano wa shujaa anayeishi .Amekuwa na ushawishi mkubwa katika vizazi na mashabiki
duniani akiwa mwana michezo na mwanaharakati wa haki za kibinaadamu.katika maisha yake yote amekuwa mtu wa huruma.
Kuwepo kwa maelfu ya watu katika
mazishi ya Muhhamad Ali wakiwemo viongozi kutoka mataifa tofaut duniani kunaonyesha atahrai yake duniani kama shujaa.Ali alipigana katika mataifa 12 tofauti katika kipindi chake.chote za masumbwi pamoja na kuhudu kama.mwanaharakati wa haki za kibinaadamu.
kwa rais wa Uturuki Tayyip Erdogan kuhudhuria mazishi ya Muhammad Ali licha ya kufunga safari nchi Marekani kuhudhuria kumeangaziwa na magaeti mengi ya Uturuki.
Kwa sasa msafara umefika katika eneo la Boulevard
Maelfu ya watu wamejipanga kandokando ya barabara wakirushia maua gari lililobeba mwili wa Ali.
aliyekuwa bondia shupavu Muhammad Ali nyumbani kwake katika mji wa Louisville huko Kentucky.
17.00pm:Karibu katika mazishi ya Muhammad Ali. Umati mkubwa wa watu utachukua mwili wake na kuupitisha katika maeneo muhimu ya maisha
yake kabla ya kupelekwa katika maziko.
17.05pm: Msafara huo unatarajiwa kuchukua takriban saa moja na nusu
17.09
Mwili wa Ali bado haujawasili lakini mamia ya watu wa Loisvile wamejipanga barabarani kuweza Kushuhudia shujaa wao!
Rais Obama hatakuepo kwa sababu ya Graduation ya Mwanae Maria ambaye anahitimu high school leo lakini Rais Bill Clinton atakuepo!

Safari ya Mwisho ya Mohamed Ali imeanza Nje ya Nyumba yenye msiba kuna nguo zilizoandikwa maandishi ya Kiarabu huku makundi ya watu yakiimba jina lake "Ali" "Ali"
Hapa ndipo Mohamed ali Alipokulia

Kutokana Na msemo wa Muhammad Ali’s “Float like a butterfly, sting like a bee,” Gari nyingi zina alama ya Kipepeo

Shabiki akiwa msibani na alama ya kipepeo
Gari aina ya Cadilac XT ikiwa imepambwa na bendera ya kipepeo

Wakazi wa Louisvile wakiwa msibani








Aliyekuwa gwiji wa mchezo wa mpira wa vikapu upande wa wanaume Kareem Abdul Jabar
amemtaja Ali kuwa nduguye na rafiki mkubwa katika mahojiano na BBC.Amesema kwamba walijuana tangu walipokuwavijana.Muhammad
Ali ni mfano wa shujaa anayeishi .Amekuwa na ushawishi mkubwa katika vizazi na mashabiki
duniani akiwa mwana michezo na mwanaharakati wa haki za kibinaadamu.katika maisha yake yote amekuwa mtu wa huruma.
Kuwepo kwa maelfu ya watu katika
mazishi ya Muhhamad Ali wakiwemo viongozi kutoka mataifa tofaut duniani kunaonyesha atahrai yake duniani kama shujaa.Ali alipigana katika mataifa 12 tofauti katika kipindi chake.chote za masumbwi pamoja na kuhudu kama.mwanaharakati wa haki za kibinaadamu.
kwa rais wa Uturuki Tayyip Erdogan kuhudhuria mazishi ya Muhammad Ali licha ya kufunga safari nchi Marekani kuhudhuria kumeangaziwa na magaeti mengi ya Uturuki.
Kwa sasa msafara umefika katika eneo la Boulevard
Maelfu ya watu wamejipanga kandokando ya barabara wakirushia maua gari lililobeba mwili wa Ali.