LIVE, Maandamo South Africa Kumuondoa Zuma

LOSEJMASAI

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
332
849
SABC Live on the ongoing protest in South Africa

The National Day of Action going on in Pretoria Union Building

 
Huyo Zuma amefanya kosa gani kubwa hivyo hadi alazimike kuondoka madarakani? Kwanini wasisubiri uchaguzi wamtoe kwa kura?
 
Raia hasa weusi wa sa wanadekezwa sana, wengi wanadhani wataletewa maendeleo na wanasiasa.
Ndio maana msomali anaingia na kanzu miezi sita tu anaduka kubwa.
Zuma anaweza kuwa fisadi na akatolewa lakn sio suluhisho la matatizo yao wasipo badilika
 
nikifikiria yanavyoua ndugu zao wa mataifa mengine nayaona majinga tu.inaonekana jamii ya kizulu ni watu wavivu sn.
 
Zuma ulichopika sasa umekipakua mezani huna budi kukila.... Mwambie Zouma wa Chelsea akusaidie kula.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom