List ya waliochaguliwa KIU kampala international university.

List ya waliochaguliwa KIU kampala international university.

we huoni no ya watu hapo hata kqmq ni batch ya kwanza hao wataweka hadi batch 7 ili wapate watu mjnja bora ahame chuo kinatangqzwa kimesajiliwa ila hawatoi reg no
 
Yani pamoja na matatizo yote ya KIU yaliyoenda hadi bungeni bado kuna watu wenye ujasiri wameenda

Haya kila la heri,kikinuka tukutane tena hapa hapa jamvini kufarijiana na kupeana hopes
 
..hivi kuna watu bado wana apply K.I.U.?! ni ubishi tu au masikio yenu yameziba....!
 
duu watu wanaona bora liende tuu ple ni tuition sio university .kweli tutakutana hapa hpa jamvini kikinuka huko
 
nashukuru kwa yote mungu mkubwa kama mishe ilishazungumzwa hadi bungeni bac nimenawa mikono. had waziri wa elimu alikwepo kutatua mzozo, naskia rais mwinyi ni chencelor pale. daaa kweli hii ngumu kumeza. mm niliapply pale ili nipate upenyo wa kuhamia IMTU medical labaratory. daa sekta nyingne naskia ziko poa. ya afya ndo inamatatizo but naamini mungu atawajalia hamtupi mjawake nimeona wadau wangu flan wamechaguliwa bachelor ya pharmacy na medical labaratory science.
 
kuna watu mitandao ya kijamii hawapo, taarifa ya habari haangalii yani hawajui chuo ni magumashi
 
hata nabii musa alipotaka kuvusha wanajeshi wake baharini alivyopasua bahari akawaambia watu ake njia mlikuwa mnaitaka ni hii alivyoona wamepita bila mqji kurudi na yy ndo akapita nyi nendeni mje kuwasimulia wajao kwamba tulikua tunaambiwa
 
hata nabii musa alipotaka kuvusha wanajeshi wake baharini alivyopasua bahari akawaambia watu ake njia mlikuwa mnaitaka ni hii alivyoona wamepita bila mqji kurudi na yy ndo akapita nyi nendeni mje kuwasimulia wajao kwamba tulikua tunaambiwa

mkuu we kwa examples tu mashaallah
 
Back
Top Bottom