list ya wachezaji walio itwa kilimanjaro stars

list ya wachezaji walio itwa kilimanjaro stars

Aggrey morris, erasto nyoni ,cholo kevin yondani dida thomas ulimwengu mbwana sammata msuva
 
mkuu mphamvu tunakutegemea utuwekee list ya wachezaji walioitwa stars
 
MILOVAN CIRKOVIC
army ndan ya Taifa stars
why always simba sc?
1.Juma kaseja
2.Nassoro masoud cholo
3Amir maftah
4.Shomari kapombe
5.Mwinyi kazimoto
6.Amir kiemba
7.Mrisho khalifan ngasa
8.Ramadhan singano (mess)
9. Edward xtopher aka edo manyavu
milovan ndo kocha bora hapa tz ndomaana kikos chote kimetoka kwa mnyama.
HIYO NDO TIMU YA TAIFA
chezea simba ww
 
ok, walahu kumbe anamacho huyu jamaa anayefundisha.
 
MILOVAN CIRKOVIC
army ndan ya Taifa stars
why always simba sc?
1.Juma kaseja
2.Nassoro masoud cholo
3Amir maftah
4.Shomari kapombe
5.Mwinyi kazimoto
6.Amir kiemba
7.Mrisho khalifan ngasa
8.Ramadhan singano (mess)
9. Edward xtopher aka edo manyavu
milovan ndo kocha bora hapa tz ndomaana kikos chote kimetoka kwa mnyama.
HIYO NDO TIMU YA TAIFA
chezea simba ww

Ndíyo maana hatufiki popote.
 
MILOVAN CIRKOVIC
army ndan ya Taifa stars
why always simba sc?
1.Juma kaseja
2.Nassoro masoud cholo
3Amir maftah
4.Shomari kapombe
5.Mwinyi kazimoto
6.Amir kiemba
7.Mrisho khalifan ngasa
8.Ramadhan singano (mess)
9. Edward xtopher aka edo manyavu
milovan ndo kocha bora hapa tz ndomaana kikos chote kimetoka kwa mnyama.
HIYO NDO TIMU YA TAIFA
chezea simba ww

Mbona Mkristu mmoja tu?
 
mbona mkude hajaitwa jamani wakati dogo fundi katika eneo la holding midfielder
 
Yaani wale wachezaji waliotolewa jasho na team inayoshika mkia katika Ligi ya Tanzania Polisi Morogoro ndo tunategemea waende wakatuwakilishe huko Uganda kwa kushindanaa na kina Godfrey Massa na Brain Umwonyi wa The Cranes au Eric Wanyama na McDonald Maliga kama watapata nafasi ya kuja kuichezea team yao ya Taifa ya Kenya?
 
MILOVAN CIRKOVIC
army ndan ya Taifa stars
why always simba sc?
1.Juma kaseja
2.Nassoro masoud cholo
3Amir maftah
4.Shomari kapombe
5.Mwinyi kazimoto
6.Amir kiemba
7.Mrisho khalifan ngasa
8.Ramadhan singano (mess)
9. Edward xtopher aka edo manyavu
milovan ndo kocha bora hapa tz ndomaana kikos chote kimetoka kwa mnyama.
HIYO NDO TIMU YA TAIFA
chezea simba ww
aisee duh kumbe sikujua ndio maana ile timu ya nchi gani ile sijui mtibwa ilifuunga simba goli mbilli tuu na sio tattu tuu kama yanga aisee duh !!!!eeti mtibwa ni ya wapi? morogoro tanzania
 
MILOVAN CIRKOVIC
army ndan ya Taifa stars
why always simba sc?
1.Juma kaseja
2.Nassoro masoud cholo
3Amir maftah
4.Shomari kapombe
5.Mwinyi kazimoto
6.Amir kiemba
7.Mrisho khalifan ngasa
8.Ramadhan singano (mess)
9. Edward xtopher aka edo manyavu
milovan ndo kocha bora hapa tz ndomaana kikos chote kimetoka kwa mnyama.
HIYO NDO TIMU YA TAIFA
chezea simba ww

Ptuuuh...
 
huyu kocha ni bonge la hasafa atafukuzwa kama mbwa hafai na hana akili mbavupu sana wewe huyo dida hata kucheza hachezi unamwita wa nini halafu huyo edo wa nini unamuacha javu unamwacha cannavaro mzoefu angalia back line ya prison imeruhusu goli 8 tu ndio beki bora ameshindwa hata kutizama timu zingine maftah hafai kabisa kwisha hana uwezo nurdin ni muhimu sana na boban pia amchukue seif rashid wa JKT RUVU
 
sishabiki kabisa hii timu ni aibu tu hawa wadenish wanakomba pesa zetu kazi kukwea machangudoa tu kila siku garden bistros sikubaliani nae kabisa timu dhaifu saana kachagua wapi javu wapi nurdin wapi seif rashid wapi boban wapi barthez huyu hata zbar watatufunga kichwa chake hakina akili akirudi toka uganda apitilize zake huko kwao aggrey moris wa nini wakati ana timu yake zbar heroes kama hivyo angemwia na cannavaro na selembe au homoud singano no edo no msuva no maftah no
 
kazimoto na maftah viwango vimeshuka saaana boko nae kwisha habari yake gojwa kila siku mechi yao na yanga hata shuti moja hajapiga huyo nyoni ndio kabisa kabaki kufukuza upepo kama morad huyu kocha msinambi kweli hajamuona sentbeki wa prisons mwamlanga au hajamuona nizar mzoefu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom