Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,364
- 27,570
Lissu amehojiwa na gazeti la mwananchi kuhusu mambo yanayozungumzwa ya yeye kutaka kuwa mwenyekiti. Lissu anasema hana ndoto ya kuwa mwenyekiti chadema.
Lakini tujiulize hapo, makamu mwenyekiti mbona nayo ni nafasi ya uenyekiti. Kipindi mbowe yupo jela yeye Kama makamu ndio alikuwa anaendesha chama. Kwa nini adanganye na kusema Hana l ndoto ya kuwa mwenyekiti ikiwa anaitumikia nafasi kama hiyo?
Pia kwani kuwa na ndoto ya uenyekiti ni dhambi? Lissu anaogopa nini? Lissu anahofia nini? Lissu kwa nini hajiamini?
N.B
Hii habari imeripotiwa na gazeti la mwananchi, Mimi nimeifikisha tu hapa maana kumekuwa na tabia ya kutukana watu wanaofikisha habari kutoka kwenye vyombo vya habari sababu tu unakuta hawaipendi hiyo habari
Lakini tujiulize hapo, makamu mwenyekiti mbona nayo ni nafasi ya uenyekiti. Kipindi mbowe yupo jela yeye Kama makamu ndio alikuwa anaendesha chama. Kwa nini adanganye na kusema Hana l ndoto ya kuwa mwenyekiti ikiwa anaitumikia nafasi kama hiyo?
Pia kwani kuwa na ndoto ya uenyekiti ni dhambi? Lissu anaogopa nini? Lissu anahofia nini? Lissu kwa nini hajiamini?
N.B
Hii habari imeripotiwa na gazeti la mwananchi, Mimi nimeifikisha tu hapa maana kumekuwa na tabia ya kutukana watu wanaofikisha habari kutoka kwenye vyombo vya habari sababu tu unakuta hawaipendi hiyo habari