Lishe bora na matunzo ya mama mjamzito

mzizimkavu
Mk e wangu ni mjamzito na anapresha ya kushuka.sasa alishauriwaga atumie kahawa anapoona dalili.he kwa sasa unatushaurije maana kahawa imesemwa haifai kwa mjamzito.nisaidie kwa ilo tafadhari
 
Wapendwa mnisaidie kuhusu ulaji wa pilipili wakati wa ujauzito hasa mimba changa.
 
Vyakula vyote vyenye wanga protein na nutrients mbalimbali

Kama samaki asiye na mekyuri nyama mayai mazIwa ugali haswa dona mbogamboga matunda maboga etc etc
 
Jamani naombeni kujuzwa, hakuna madhara yoyote kwa mama mjamzito na kijacho kwa kutafuna vitunguu swaumu vibichi?

Maana anataka kufukuza mafua yanayotaka kumnyemelea.
 
Samahani nauliza nini kifanyike ikiwa mama mjamzito amekula samaki wenye zebaki ili mtoto asidhurike??
 
Mkuu ungeandika kwa kiswahili kwa faida wote hapa wamekuelewa wachache umenifanya nirudie rudie kusoma najikuta namaliza bando kwa kingereza chako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…