King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,593
habari zenu
i am serious kama unaleta utani usicomment hii post, hebu niambieni ni vyakula gani vizuri wakati wa mjamzito? namaanisha vyakula vianavyoweza kumsaidia mtoto kuzaliwa salama
pili napenda kujua ni style gani nzuri ya ku do wakati wa ujauzito? mimba ndogo ya kuanzia mwezi mmoja
karibuni
Mtende vipi wewe,mbona unaanza na biti? Kwani umepost kwenye jukwaa la utani? Au ushajua kwamba unauliza maswali ya kiutani?
Acha ngono zembe na usipende sana kufanya ngono!