Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
back to the topichivi lipumba lini atafanya ziara ya kukijenga chama chake zanzibar?
Lipumba anatumiwa na chadema kuwa win waislam
Lipumba anatumiwa na chadema kuwa win waislam
Kiporo chenyewe kipo kwao Musoma. Huko kafanya kufuru ya matumizi. Kanunua dizeli lita 900 na matairi 8 kwa magari ya polisi ili alindwe. Kila polisi kadaka laki tano kila siku. Waandishi wa habari nao wamevuna kinoma ili wampambe. Si umeona front pages za baadhi ya magazeti ya jana. Kila mwanahabari kapigwa laki tatu kila siku. Kuna uzi humu ndani umeanzishwa wenye kila comment inayojibiwa vizuri ama na kiporo chenyewe au watu wake waiopo kwenye payroll yake. Hii ndiyo TZ na huyu ndiye waziri wetu. Wakati hayo yakiendelea, nchi ipo kwenye mgao mkali wa umeme wa kimyakimya!
kiporo chenyewe kipo kwao musoma. Huko kafanya kufuru ya matumizi. Kanunua dizeli lita 900 na matairi 8 kwa magari ya polisi ili alindwe. Kila polisi kadaka laki tano kila siku. Waandishi wa habari nao wamevuna kinoma ili wampambe. Si umeona front pages za baadhi ya magazeti ya jana. Kila mwanahabari kapigwa laki tatu kila siku. Kuna uzi humu ndani umeanzishwa wenye kila comment inayojibiwa vizuri ama na kiporo chenyewe au watu wake waiopo kwenye payroll yake. Hii ndiyo tz na huyu ndiye waziri wetu. Wakati hayo yakiendelea, nchi ipo kwenye mgao mkali wa umeme wa kimyakimya!