Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885

- Lipumba amesema, Maalim Seif ambaye ni Katibu Mkuu wa CUF alifanya kosa kubwa kujitangazia matokeo.
Lipumba amesema, Maalim Seif ambaye ni Katibu Mkuu wa CUF alifanya kosa kubwa kujitangazia matokeo.
Lipumba anaendelea na mahojiano ya moja kwa moja yanayorushwa na televisheni ya Clouds.
Chanzo: Mwananchi