Linipate la kunipata!

Mkataze aisee asije maliza huo udongo
 
Hapana.
 
kwa kweli mimi huwa nakwenda kusali na kuomba kwenye makaburi ya wazazi wangu naweza kukaa hata nusu saa hapo
makaburi mengine nikipitaga kama mkristu nawasalia tu ile roho za marehemu ziendelee kupumzika kwa amani nafanya na ishara ya msalaba basi napita zangu.
Ila binafsi sipendelei kabisa kupita au kwenda makaburini labda iwe kwa minajili ya kuzika
 
Anaye ombwa ni Mungu sio makaburi mtu akifa ndio ameshakufa hawezi kukusaidia

Siku nyingine usirudie kufanya hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…