TTCL ukitaka special namba ni bure , hakuna gharama yeyote ile. kuhusu huduma zao bado wanaendelea na ujenzi wa mawasiliano kwa kasi,Na lengo lao ni kuwafikia watanzania popote walipo nchini na wamesha tandaza Dar, Pwani,
Morogoro, Dodoma, Mbeya, Mwanza,Tanga na Zanzibar N.K jana na leo walikuwa na uzinduzi kule Tanga kunani, pamoja na Arusha ni kesho nasika wanazindua, kwa ujumla hawa jamaa wako vizuri.
- Simu yeyote yenye 3G au 4G unaweza kuweka line ya TTCL na inafanya kazi, tena wana ofa kibao ukiacha kupiga simu bure TTCL-TTCL mara uongezapo salio, si hivyo tu utapiga mitandao kwa bei ya 1.17 kwa sekunde.
- Kwa sasa wanajitahidi sana wana mawakala,na kwa yule wa mabibo hostel jitahidi utoke maeneo yako hapo barabarani au rahisi kwako ni ubungo plaza wana shop yao hapo,contact yao ni namba 100 huduma kwa wateja ni bure, ukiwa na simu ya TTCL na namba 0222100100 kwenye simu yeyote ile ila utachajiwa
- kujiunga kwenye vifurushi vya TTCL piga Code *148*30# au ingia kwy
www.ttcl.co.tz na kwa maoni zaidi wana
customercare@ttcl.co.tz