Line za TTCL

Nazungumzia kibiashara, feature phones hazitumiki siku jizi? Ktk biashara ya mawasiliano asilimia kubwa ya subscribers wanatumia feature phones.
Jamaa wamefocus kwny data mkuu...features phone unaweka tigo mambo yanakwenda..
 
Hivi hizi simcards (chips) zinapatikanaje?
Zinatumika kwenye simu za kawaida au kuna simu maalum?
Naomba kujuzwa kwa mwenye ufahamu wa jambo hili
Mi nilienda mwanza nikanunua line yao. Sasa pale mjini ilikua inakamata fresh tu. Ila nikatoka mpaka nafika kona bwiru network hakuna kabisa. Ni km kama nne hivi kutoka town. Ile kurudi kwao, wakanambia mtandao upo hapo hapo mjini basi
 
Watawanyike kwa haraka mikoani,toka tumeanza kiwasikia na 4G,mikoani bado kabisa
 
mm nimenunua line ya 4g lkn ukiiweka kwenye simu ambayo haina internet(kama nokia ya tochi) haisomi kabisa.....inatumika kwenye smartphones tu
But its "4G" simcard right??? so unakwenda kuweka kwa simu ya tochi
haki ya nani umevurugwa
 
mkuu
But its "4G" simcard right??? so unakwenda kuweka kwa simu ya tochi
haki ya nani umevurugwa
mkuu mbona line za 3g mitandao mingine ukiweka kwenye nokia ya tochi inasoma?? naweka kwenye nokia ya tochi ili nitumie dakika na sms
 
Mkuu hv ni kwanin kwenye simu nikichagua option ya lte/3g/2g line inasoma 4g lakini siezi piga wala pokea simu. Sms zinaingia na kutoka.. internet iko poa sana.
Nikichagua 3g/2g ndo kabisaa "no service". Na pia kwene modem ya 3g inasema "No service" but kwa miezi ilopita 3g ilikuwa inasoma.
Wamezengua baada ya "marekebisho" yao jpili ilopita. Niko maeneo ya SAUT mwanza
 
Mimi nipo morogoro naitaji chip ya ttcl nataka nitumie mkongo wa taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…