line ya M-PESA

line ya M-PESA

Joined
May 7, 2017
Posts
27
Reaction score
2
Mwenye uhitaji wa line ya M-PESA (TIL) tuwasiliane kwasasa niko mbeya ila kuanzia tarehe 15 ntakua dar es salaam.
 
Naeza pata mbili kwa matumiz sawa
 
Kununua till kwa mtu kuna usalama kiasi gani wakuu? Tunaogopa kuingizwa mjini
 
Kununua till kwa mtu kuna usalama kiasi gani wakuu? Tunaogopa kuingizwa mjini
Nami pia hili swala linanitatiza sana....anayejua atupe ufafanuzi!....kuna risks zipi zinaambatana na kununua till kwa mtu ambae hafanyi kazi voda,tigo au airtel!
 
Back
Top Bottom